Otile Brown is questioning why Julius Nyerere Airport in Tanzania has security guards after his two laptops were stolen.
Disappointed, Otile Brown has shared his frustrations, noting the airport declined his request to check the CCTV footage.

So kwenye airport ya Julius Nyerere Tanzania nimeibiwa Mac/laptop mbili ila walinzi nawatoa huduma wamekataa kutusaidia ndani ya masaa matatu. Wamektaa kuchunguza kwenya cctv. Wametungusha mda. Longest night of my life.
Otile
Otile Brown lost his two MacBooks.

Yani wanakataa kutoa huduma wakati ku trace laptop zikiwa tu hapo karibu. Tumetoa hadi report ya police ambayo ndio utaratibu ila wakakataa.
Otile
