Artist, Juliani has talked about how he met his Wife Lilian; who was once betrothed to former Machakos Governor Alfred Mutua.
Speaking to Hot 96’s presenter Patrick Igunza on Wednesday, he denied claims that he ‘snatched Lilian’ from the governor, adding that “”Huwezi slice jamaa mtu wake“.
Huwezi slice jamaa mtu wake. Haihappen hivyo. Watu wanapenda those kind of allegations so wanapush towards a certain angle more than what it is but haikuwa hivyo…
JULIANI
He said that initially they were just friends, bonding over normal conversations, mainly cones around spirituality and life, eventually the relationship grew. It was only later that she disclosed to him that she was single.
Mimi nimepatana na yeye last year randomly. Tukaanza kubonga story ya consciousness…
Ndio baadaye akaniambia by the way hivi ndio kuko, mimi siko hapa. Mi nikasema sikuwa najua nilikuwa nadhani sisi ni mabeshte..
Nilikuwa celibate hiyo time ata sitaki story ya manzi ju nilikuwa space poa sana but vitu zikatake tu shape yake venye inafaa but wasee walitry kuipush into something that it was not which was sad…
He told Patrick Igunza.
Lilian & Juliani are enjoying parenthood together after they welcomed a baby boy last month.
Related: Lilian Ng’ang’a launches YouTube channel, ‘Lil Thoughts’